Hongera sana Gideon na Rebecca!

img-20161211-wa0003Hongera sanaaaaaa Gideon na wifi yangu Rebecca. Nawaombea kheri na baraka nyingi sana katika ndoa yenu. Mkapate kubarikiwa mzae matunda mazuri na matamu sana. Congratulations!
img-20161211-wa0002Bwana harusi Mr Gideon ni mfanyakazi wa HoleyPharm Ltd katika department ya Marketing, Advertising, and Sales kwa muda wa miaka kumi (10) sasa. Na siku ya leo masaa ya East Africa-Tanzania alikula kiapo kitakatifu cha ndoa katika kanisa takatifu la Magomeni Seventh Day Adventist pale Mwembe Chai!
img-20161211-wa0001 Maharusi pamoja na wasimamizi wao wakipata picha ya pamoja kabla ya kuelekea Kunduchi beach ambapo sherehe ya harusi hiyo ilifanyika!img-20161211-wa0004Mama Igogo, Deputy Director of HoleyPharm  akiwa teyari kwenda kuserebuka kwa furaha kabisa kwenye harusi ya mfanyakazi wake! img-20161211-wa0002-1Kwa mara nyingine tena, hongera sana kaka Gideon na wifi karibu sana ndani ya familia ya HoleyPharm. Mbarikiwe sana ❤❤

Leave a Reply