HUU NI MWAKA WA KUONGEZA NA KUTENGENEZA MAHUSIANO MAZURI NA WANA WA NCHI WA TANZANIA- Peter Sarungi

Kila mwaka una lengo kuu endelevu linalotimizwa kuanzia mwanzo wa mwaka hadi mwisho wa mwaka. Kwa mimi Simba wa Utegi na Babu wa Kagera nimeamua kuweka mwaka huu 2017 kuwa mwaka wa kutengeneza mahusiano ya kijamii, kisiasa na kiuchumi na wananchi. Mahusiano yanatengenezwa kwa kupitia mawasiliano.

Peter Sarungi a.k.a The Next Speaker-Baba Pilato!

Unaweza kunipata kupitia:

1. Public No & Watsup No. +255 713 037 798

2. Facebook ID : Peter sarungi

3. Instagram ID : peter.sarungi

4. E. Mail : [email protected]

5. Tweeter ID : @psarungi

6. Post Code : 9291- Dar es Salaam

7. Physical Adress : Chanika Village – Dar

Hizo ni baadhi ya njia unazoweza kunipata kupitia mawasiliano yangu rasmi kama Next Speaker mwaka 20…

Karibu tuwasiliane katika kujenga nchi ili hata watoto,wajukuu,vitukuu na vizazi vijavyo vije vipate kula matunda yetu

Imetolewa na:

Idara ya Habari na Maelezo ya Peter Sarungi

Raisi-Jukwaa la Walemavu Tz, Next Speaker. Asante sana kaka yangu mimi pia nitakuwa mmoja wa wafuasi wako!

Leave a Reply