Je! nawewe ni kama mimi?

What's up with my hair ???Nauliza kama kuna mtu mwenye mtazamo kama wangu! Mimi picha is all about memory / memories captured! Its more about the "moment" than the look! Yani naweza piga picha katika hali yoyote ile; niwe nimevaa vizuri au la! Niwe nimepaka makeup au la! Ilimradi kuna kumbukumbu itakayotokana na hiyo picha kupigwa mie huwa sijali! And I can share it! Because I'm a real person comfortable in who I'm! Mimi napenda sana memories za picha. 
Sisi tulizaliwa kwenye familia ambayo by then haikuwa na uwezo sana lakini Camera was around our home! Baba yetu anapenda sanaaaaaa picha yani sasa hivi ni uzee na majukumu mengi ndio yamemfanya a-slow down! Nafikiri mimi nimeiga hako katabia ??? .........

Sisterhood
 Trust me, sijui ninesha mtumia "Muhaya" picha ngapi but I normally don't care how I look mpaka siku hizi kanizoea (I guess) ??? au ndio mambo ya "kunyapia nyapia" makaratasi ya Ujaluoni hivyo hana budi ?? Haki vile umeshawahi ona wale watu haswa wakina dada /wanawake ambao hawawezi weka picha zao kwa social media mpaka ziwe "perfectly fine"? Yani hata kama ni ndugu yake amevaa siyo kulingana na hadhi atakayo yeye basi hiyo picha au hizo picha hamta kaa mzione kwa social media! 
Hawa ndio wale watu ambao ndugu zao wote ni wenye pesa, wasiopitwa na fashion ya nguo yoyote, wenye kupaka makeup 24/7 yani those kinda diva-ish behavior kama Mariah Carey! Na, hizo tabia zina wa-cost sana! Unaona jinsi Mariah Carey pamoja na uzuri wake na pesa alizonazo bado Nick alimuacha? Akasema I can't take it anymore! Haya juzi juzi tu hapa akampata kijana Bilionea akamvisha na pete ya uchumba naye baada ya mwaka mmoja kamwaga manyanga ?? (tazama video hapo ??) .....sasahivi kaishia kum-date back dance wake ????

Personally, I'm allergic to "Divas"! Kuna tofauti ya mtu kuwa classy na mtu kuwa Diva! Kwamfano, Zari is very classy but she ain't a Diva! Ndio maana unamkuta anaweza kwenda kokote na ku-cop na watu wa aina yote! Hili hata kwa Wema Sepetu pia, she's  not a diva! But Wema lacks CLASS au naweza sema ameshindwa kuelewa where / how to apply it though she's  down to earth. 

Anyway, wenyewe wanasema hivi "Fake people have an image to maintain and protect. Real people just don't care"! ?? #BeReal

One thought on “Je! nawewe ni kama mimi?”

Leave a Reply