alphaigogo.com
Kesha la asubuhi: Kuchimba Ndani Zaidi Kwenye Machimbo - alphaigogo.com
*KESHA LA ASUBUHI* *JUMATATU APRILI 9, 2018* *Watu hawa walikuwa waungwana kuliko wale wa Thesalonike, kwa kuwa walilipokea lile neno kwa uelekevu wa moyo, wakayachunguza maandiko kila siku, waone kwamba mambo hayo ndivyo yalivyo. Matendo 17:11.* ?Ni sawa na sahihi kuisoma Biblia; lakini wajibu wako haukomei hapo; kwani inakupasa uchunguze kurasa zake wewe mwenyewe. Elimu ya Mungu haipasi ipatikane bila jitihada ya akili,
Alpha Igogo