alphaigogo.com
Kesha la asubuhi: UTAKATIFU - alphaigogo.com
*Kesha la Asubuhi* *J, tano Tarehe 28/3/2018* *UTAKATIFU* ?? *Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao. Waebrania* *12:14* ??Tangu milele, Mungu alichagua watu wawe watakatifu. “Maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu, kutakaswa kwenu” (1 Wathesalonike 4:3). Mwangwi wa sauti yake unatujia, daima ukisema, “Utakatifu zaidi, Utakatifu zaidi.” Na jibu letu daima yafaa
Alpha Igogo