LeMutuz: Mambo bado kabisa mpaka mtakapoelewa kuwa SERIKALI YA AWAMU YA TANO ni serious business

Regrann from @lemutuz_superbrand  -  FACT: Is walipokutana jana yaani ... Le Commandant Field Marshall RC @paulmakonda na KAKA YAKE NANILIHIU LE KIGAGULAZZZ Mama Maandamano Hewa waliongea kwa masaa 4 nonstop wakiwa wamejifungia ofisini kwa Le Commandant WAWILI TU! ....ni FACT ....swali la msingi hapa ni je WALIONGEA NINI MUDA WOTE HUO WA DAKIKA 240? ...Kwani Kaka anajua nini kuhusu Dada yake Mama maandamano Hewa? ....Kwanini Le Commandant hakukutana na ndugu wengine wa Mama Maandamano Hewa akakutana na huyu tu? ...Le Commandant na Kaka wameanza lini kufahamiana na je walikuwa na Mawasiliano siku zote au? ...au Kaka ametumwa na Dada? ...kwa nini Dada kalia sana kwa uchungu? ...Le Commandant alijuaje kukutana na Kaka italeta kilio cha damu kutoka kwa Dada kama ilivyotokea? ....I mean haya ni maswali muhimu sana ya kujiuliza na kujijibu kabla hujakurupuka na kuanza kuropoka ropoka kwa nyie Misukule ...mwenyewe Dada Mama Maandamano Hewa kakubali kuwa kaumia wewe Msukule unasema nini? ...tulieni mambo ndio kwanza yameanza mpaka Dada afikishwe kwenye mikono ya Sheria ya Tanzania na ni karibuni sana hana muda mrefu ....Rais wa zamani wa USA Reagan aliwahi kusema "YOU CAN RUN, BUT YOU CAN'T HIDE FOR GOOD" - HIROSHIMA"........INAITWA KUPATWA KWA JUA nyie Misukule na Minyumbu tulieni hii ni "OPERATION KIGAGULAZZZ ONE" ...habari kamili inakuja ...toeni mapovu, lien, rukeni hii hamchomoi mazafantazz...KIGAGULAZZZ kashikwa pabaya na bado subirini the next "OPERATION KIGAGULA TWO" ...ndio maana ya ...LE COMANDANT FIELD MARSHALL now U know ...mambo bado kabisa mpaka mtakapoelewa kuwa SERIKALI YA AWAMU YA TANO ni serious business kazi kazi na Bampa to Bampa ....wewe Kibibi Kigagulazzz hiyo ni rasha rasha tu HABARI KAMILI BADO INAKUJA ....mpaka utinge Mahakamani Kisutu kujibu mashitaka yako rasmi ya UHAINI....hahahaha....ok guys here is THE KING OF ALL BONGO SOCIAL MEDIA NETWORK & THE KING OF ALL MOTHERS OF FREEDOM OF SPEECH! ....nani anabisha hukooo? au nani mwenye tatizo hukooo?...KANYAGA!  and THIS CASE IS CLOSED! - @lemutuz_superbrand  - #regrann

Leave a Reply