Mama Mbuna: Mungu wangu ninaye mtumikia akubariki milele yote

Wooh Mungu ni mwema mno. Ilikuwa siku kama ya leo (Alhamisi), tarehe kama ya leo (11/01/ mwaka uleeee, mnamo saa 09:30 mchana, mvua yenye utulivu ikiwa inanyesha, nikiwa pale Ocean Road Hospital, BWANA alinipatia mtoto mzuri wa kike tunayemuita Foster Mbuna Mkapa. Aliyefanya CV yangu ibadilike na kuanza kuitwa mama Foster tangu siku hiyo.  Nakutakia baraka zote za rohoni na za mwilini unapoisherehekea siku yako hii ya kuzaliwa. Kwa imani nakutamkia neno hili kwamba "hakuna silaha yoyote itakayo inuka juu yako ambayo itafanikiwa." Mungu wangu ninaye mtumikia akubariki milele yote. HAPPY BIRTHDAY TO YOU. MUMMY LOVES YOU!!!!!!

Leave a Reply