Monalisa kaua, kamaliza kabisa!

  Regrann from @monalisatz  -  Happy fathers day kwa mibaba yote iliyotelekeza wanawake wajawazito,wakatelekeza na watoto wao au kuwakana kabisa watoto wao kwa sababu wanazozijua wao,siku ya Leo iwakumbushe kwamba wao ni viumbe wajinga kuliko yeyote yule kwenye dunia hii Hata yule Nguruwe aliyetabiri Nigeria kufika nusu fainali za World Cup ana akili kuliko wao.Siku ya Leo kila watakachokula wakaharishe mfyuuu.Watakachoongea wawe wanakohoa kohoa tu ovyo wajinga kabisa nyie...hamuoni haya siku ya Leo wababa wenzenu wako so proud na watoto wao,nyie mmetumbua mimacho tu na wengine MNA vitambi kama wajawazito. Haya Happy father's day kwenu wehu nyie  - #regrann

Leave a Reply