Muhtasari-sehemu ya saba: Kwaheri si neno rafiki sana.

Janeth, Alpha, Magreth, na Guka

ikafika muda wa kusema ‘kwaheri’ neno ambalo si rafiki kwa vinywa vya watu wengi kwasababu ya uhalisia wa neno hilo! Basi hii ndio ilikuwa siku yangu ya mwisho Tanzania kwa mwaka 2022. Pichani kutoka kushoto ni mdogo wangu Janeth (mzaliwa wa nne), mimi mwenyewe mtu kati hapo (mzaliwa wa tatu), Magreth Nyasungu (mzaliwa wa tano), na Guka (mzaliwa wa sita).

baba na mama Alpha 😍
Mama Bear and her cubs 😍

Our prayers warrior, the glue that keeps our family together, our iron lady , our super woman, the centerpiece of our blessings, mama Igogo we love you, Mama. May our Almighty God continue to keep you well.

Dubai
Tanzanite Business lounge-JKN International Airport

Namshukuru Mungu kwa yote naomba azidi kutupa afya njema na ulinzi wa kutosha ili tuonane tena na tena sio kwa ajili yetu bali kwa ajili ya utukufu wa jina lake. 🙏🏿❤️🙏🏿

Leave a Reply