alphaigogo.com
Mungu ndiye muhasisi wa #Democracy - alphaigogo.com
Demokrasia ni mfumo ulio hasisiwa na Mungu Mwenyezi. Mungu alikuwa mtu wakwanza alieanzisha Democracy pale kwenye bustani ya Edeni. Pamoja na kumpenda mwanadamua sana, na akampa masharti ya jinsi ya kuishi katika bustani ile ya Edeni lakini alimpa Adamu Uhuru wa kuchagua #Democracy kati ya mema na mabaya. Adamu alitumia uhuru wake kufanya maamuzi aliyo yafanya. Mimi huwa siku zote
Alpha Igogo