Muwe na weekend njema.

Siku zote tukipata nafasi ya kuwa pamoja huwa namshukuru Mungu sana, na huwa naakikisha nampa mwanangu 100% ya my attention! 😍😍 She’s everything to me! Kutokana na ratiba yake ya shule pamoja na kazi muda mwingi huwa tunapishana. Hivyo nyakati kama hizi ni muhimu sana kwetu sote. Si kwa uwezo wetu bali ni kwa neema yake Mungu Mwenyezi. 🙏🏿❤️🙏🏿

Haya nawatakieni weekend njema na Sabato njema sana kwa waaminio.

Leave a Reply