Mwanasheria Alberto Msando arejea CCM kwa unyenyekevu!

Yule Mwanasheria wa kujitegemea, msomi wa kuaminiwa na mataifa yote,  Alberto Msando arejea CCM kwa unyenyekevu mkuu! Akiri kuwa alipotea njia, alikuwa kipofu na sasa anaona kwani hataki kuongozwa na chama ambacho kina Mwenyekiti mmoja kwa zaidi ya miaka 10! Kwani huo pia ni udikteta ??  ……Alberto anakuwa mwanasheria wa pili (Lau Masha alirudi wiki iliyopita) ambao walikuwa upinzani na sasa wameamua kurudi kundini! ……As I always say, ” I’m not a politician” hence, my comment is respectfully reserved! Just wishing him the best of all!

Leave a Reply