My bestie and I #FBF

My bestie and I somewhere in Masaki, Dar es salaam earlier this year!……..Sidhani kama nilishawahi kuwaeleza kuwa huyu rafiki yangu kipenzi ni shemeji yake na Freeman Mbowe kabisaaaa! Napia ni daughter inlaw wa Dr. Reginald Mengi ?? anyway that is not the point nawala havihusiani na urafiki wetu! Sisi tulisoma wote college pale CBE, Dar napia tulikuwa room mates! Namtakia kheri ya kufunga mwaka 2017 na baraka zote za kuanza mwaka 2018! Love her dearly! #FBF #2017

Leave a Reply