My people!

My family on their way to Utegi kwenye mazishi ya ndugu yetu Kenneth! Hapa walikuwa Singida  jioni ya leo, umeona kitu cha “Utegi Mgahawa”? Kijiji chetu ni maharufu ati ?? ……. anyway, nawatakieni safari njema ndugu zangu, mfike salama na pia mrudi salama. Mazishi mema!

Leave a Reply