alphaigogo.com
Pastor Caleb Migombo: Tunapokuwa watoto, mawazo yetu na kufikiri kwetu vinapangiliwa kutokana na uzoefu wa maisha tunayoishi - alphaigogo.com
Kwa kiasi fulani, wewe na mimi tumepangiliwa (programmed). Tunapokuwa watoto, mawazo yetu na kufikiri kwetu vinapangiliwa kutokana na uzoefu wa maisha tunayoishi. Mpangilio huo wa namna ya kufikiri na kuishi hutokea kwa kila mmoja wetu. Lakini kama vitu ambavyo vimewekwa katika ubongo wetu na kumbukumbu za vichwa vyetu ni vibaya au si vya kweli, basi matokeo yake tunaweza kupata matatizo
Alpha Igogo