Some people need Jesus not you!

Usitake kujifanya wewe ni Yesu mwana wa Mungu kwa kujifanya “shujaa ushwara” wa kubeba mizigo ya watu ambao hawabebeki! Hata Yesu yalipomfika akaona kikombe hakibebeki alimuomba Baba yake kuwa “Baba yangu, ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke”!! Some people need Jesus not YOU!!   

Leave a Reply