Pumzika kwa amani ya Bwana mpendwa Juliana

screenshot_2016-11-03-17-13-01-1Jamani what a sad story!!! Nimesikitika sanaaaa! What a loss! Jamani binti mdogo hivi watu wanamtenda unyama huu jamani! Ee Mungu tusaidie hii dunia imejaa laana isiyo elezeka! screenshot_2016-11-03-17-07-26-1Halafu hapa sikujua kuwa ni Mtanzania, nilifikiri ni South Africa! Nimeguswa sana na kifo chake. So painful!……… Wazazi wako wapi taifa linawalilia!! Watoto wanalelewa bila maadili wala upendo, shetani ameshika roho za wazazi kuzaa siku hizi ni FASHION SHOW tu! Wazazi wengi hawana muda wa kulea watoto wao matokeo yake watoto wanalelewa na TV and social media!! And all they can see, hear, and learn is nothing but violence!! ……… Where are the fathers jamani!!! Fathers are supposed to be PROTECTORS for their girls where are they??? Watoto wakike wanalia kwa uchungu lakini baba zao wahajali!!! watoto wakike wanajiona hawana thamani!! Wanatafuta baba zao kwenye vitanda na wanaume wengine! They are crying out for help but their fathers have turned def!! they care less about them!! This is too painful! Oo’good Lord hear our humble cry!………Enenda kwa amani ya Bwana mpendwa wetu Juliana, tutaonaa katika hasubuhi ile ya fahari!!……. Now #Salome is no longer fun to watch, gosh!! What a  talent! What a loss! R.I.P

Leave a Reply