R.I.P Kofi Annan

Another Africa greatest is gone! R.I.P Kofi Annan Africa will always remember you, your legacy shall forever live!……. Hivi mnajua hakuna kituo chochote cha TV hapa Marekani ambacho kimeongelea kifo cha kiongozi huyu mashuhuri aliyewahi kupewa  tuzo za Nobel Peace Prize? Halafu utakuta baadhi ya Waafrika haswa Watanzania wanavyo washobokea Wamarekani wakati wenyewe kama hawafaidiki na kitu hata siku moja hawakiongelei!!

Ingekuwa ni vita au vurugu mahala fulani huko African ungeona ambavyo kila kituo kinaonyesha kwasababu tu wanataka kuonekana wao ni bora kuliko wengine!! Napoa hapo wanajua ni sehemu ya kuuza silaha zao kama bunduki  hivyo ni lazima wamfanyie promo ya nguvu ili wauza silaha wapeleka huko!! Siku tutaacha kushabikia hawa wazungu na kujenga vyaketu ndipo tutaheshimika mbele zao!!

Anyway, may Kofi Annan soul’s R.I.P ??

Leave a Reply