R.I.P mama Tenga!

Naomba nitoe pole zangu za dhati kabisa kwa familia ya Mchungaji Rashid Tenga na ukoo wote kwa msiba wa mama / bibi yetu mama Tenga. Pole sana dada yangu Penninah Tenga kwa msiba wa mama. Mungu awe nanyi katika kipindi hichi cha maombolezo na wakati wote!……..Kwa faida ya wengi, marehemu mama Tenga ni mke wa Mchungaji mstaafu Rashid Tenga wa kanisa la Wasabato.  Pia ni mama yake mzazi na mwanasheria maharufu Tanzania Ringo Tenga. ………..Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe milele zote!

Leave a Reply