RC Paul Makonda ndani ya jiji la Suquian, China!

@Regranned from @paulmakonda – Nikiwa na Meya wa jiji la Suquian Bw. Wang Tianqi,jiji la jimbo la Jiangsu. Hili ni jiji jipya kati ya miji mingi iliyopo nchini China(limeanzishwa mwaka 1996). Jiji hili lina ukubwa wa km za mraba 8555 km na Wananchi milioni 4.7. Nikiwa jijini Suquian nimepata bahati ya kutembelea maeneo ya kiuchumi mbalimbali likiwemo eneo la *Suquian National Economic and Technological Development Area* (eneo la viwanda) lenye viwanda vya kati na juu kama viwanda vya chakula, mbao,mvinyo (Yanghe Breweries Industry),viwanda vya nguo n.k. Uchumi huo wa viwanda umesaidia Pato la mwananchi kufikia hadi Yuen 40930 kwa mwaka, sawa na $ 6292 ambayo ni sawa na tshs 14,124,910 2018niMwakaWauwekEzAjI

Leave a Reply