Robert Mugabe ameng’oka!

Ni nderemo zimerindima ndani ya nchi ya Zimbabwe!! Ameng’oka!! Robert Mugabe is no longer in power!…….Mimi siyo mwanasiasa hivyo sijui kama hii italeta amani na maendeleo zaidi au La! Lakini naweza sema ni mmoja ya watu ambao nilikuwa sipendezwi na kuwa na Rais  mmoja kwa miaka yote hiyo! Kunatofauti kubwa sana kati ya chama kimoja kuwa madaraka na Rais mmoja kuwa madarakani!! Hivyo kwahili naungana na Wazimbabwe wote kusherekea ushindi huu!…..Mungu ibariki Africa!

Leave a Reply