Siku ya mtoto wa kike duniani: Jokate awa mgeni rasmi shule ya Turiani, Magomeni, Dar!

 

Jokate Mwegelo ndie aliye kuwa Mgeni Rasmi siku ya leo ambayo ni siku ya maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike duniani yaliyofanyika katika shule ya sekondary ya Turiani Magomeni. Alipata nafasi ya kuongea na wanafunzi wa kidato cha kwanza na tatu yaliyo andaliwa na taasisi ya @mwanamke_na_uongozi Iliyokuwa na kauli mbiu Thamani Ya Binti Na Uongozi Wa Maadili! “Walikuja kunitembelea, nikawaalika chakula tukala wote then tukapozi kwa picha ?” J. Mwegelo

Leave a Reply