alphaigogo.com
Wapo wakukupa umbea, lakini wakukupa pesa hakuna! - alphaigogo.com
??? UMBEA ni bidhaa cheap sanaaa ndiyo maana inagaiwa kama njugu! Uwezi amini kuna watu unaweza waheshimu sana kama hujakaa nao karibu yani uwaone kwa mbali tu maana ukiwavuta kwa karibu unaweza TAPIKA NYONGO ??? Wana elimu na CV za kufa mtu lakini Mwe eee! ???Wanamajungu mfano hakuna!! Wanapenda umbeya utafikiri walizaliwa kwenye mitalo! Wana elimu lakini hawajaelimika!! Sasa chuki
Alpha Igogo