Mrembo wetu mgeni wetu wa heshima akiwa na muheshimiwa mpambe wake! Wamependezaje sasa, simple hakuna madoido mengi ?? embracing their natural beauty ?❤
![]()
![]()
Mimi mwenyewe simmeniona aaa! Ningekosaje ukodak moment na bibi harusi, kuna mibaraka kupiga picha na bibi harusi ati ?? Msije mkaanza kuwaganda maharusi kupiga picha lol!
![]()
![]()
![]()
![]()
Hii sherehe ilikuwa ya kipekee sana, simnaona watu wamefunga Khanga na wengine wamebeba, basi kila mtu alipewa zawadi ya khanga na mwiko wa kupikia all the way from Bongoland ? wewe ulishawahi kwenda kwenye sherehe halafu ukapewa zawadi za huwakika kama hizi? Rachel siyo mtu wa spoti spoti ati ???
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![](https://i0.wp.com/www.alphaigogo.com/wp-content/uploads/2018/06/20180624_162359-1.jpg?resize=672%2C372&ssl=1)