“ENENDA KWA AMANI BOSS D.J. MASSABURI, MUNGU AKUPE PUMZIKO LA AMANI.”- Peter Sarungi

Na Peter Sarungi (Next Speaker, Baba Pilato)
 Peter Sarungi (Next Speaker, Baba Pilato)

Kwa mara nyingine tena ndani ya mwaka, moyo wangu unapata sikitiko na jaribu kwa kuondokewa na Bossi wangu niliefanya naye kazi Chuo cha IPS.

Nimesikitika sana kwa jinsi nilivyomfahamu na kuishi naye kwa miaka 5 ya ajira. Kwa kweli Dunia, Afrika Mashariki, Tanzani, Taaluma ya Procurement, wana Mara, Ukoo wa Ojambi pamoja na ndugu jamaa na marafiki tumepata pigo na pengo ambalo halitazibika kamwe.

Binafsi nimepata kujifunza Ujasiri, Uthubutu, Umakini, Uwezo wa kujenga na kutete hoja kutoka kwake. Nakuombea Heri na naamini muda utafika na sisi tutakufuata huko ulikokwenda.

Pole sana Familia ya Massaburi na Mungu awape nguvu kwa kipindi hiki kigumu cha huzuni.fb_img_1476313349851Pumzika kwa Amani baba. Amen

Leave a Reply