KABLA HATUJA STAAJABU UPOTEVU WA BEN, TUKUMBUKE NA UPOTEVU WA YERICKO 2015-Peter Sarungi

Peter Sarungi (Next Speaker-Baba Pilato)
Peter Sarungi (Next Speaker-Baba Pilato)

Nakumbuka kipindi cha uchaguzi mwaka jana 2015 kulikuwa na msako wa kumtafuta Yericko Nyerere kupitia mitandao ya kijamii baada ya kutoonekana katika mitandao hiyo kwa muda mrefu. Tulianzisha hash tag nyingi za kudai kurudishwa kwa Yericko huku viongozi wa juu wa chama wakikaa kimya bila kutoa katazo ama tamko lolote rasmi la kudai kada wake kupotea.

Kwa bahati nzuri uchaguzi ulivyokwisha hatimaye yericko alirejea huku akiambatana na kesi ya cyber crime. Mwaka huu kupitia andiko lake, Mh. Yericko alishindwa kuvumilia ikabidi asimulie yaliyojiri kupitia Filamu yake ya kihindi akisema kilichomkuta huko mafichoni akikimbia dola.fb_img_1481652596313Sasa na hili nalo la upotevu wa Ben linanipa mashaka makubwa….

Leave a Reply