Kauli / Maneno yana ishi -Peter Sarungi

Hii ni kauli na maneno ya Mh. JPM alipokuwa anajinadi na kuomba kura kwa wananchi wa Tanzania. fb_img_1477415913995“Nasema kweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu, kwenye serikali yangu hamna mwanafunzi atakaye kosa mkopo eti ashindwe kuendelea na elimu ya chuo kikuu” inaendelea…….. “Hii nchi ni Tajiri kweli kweli, kwenye serikali yangu nita hakikisha kila mwanafunzi ananufaika na mkopo. Haiwezekani nchi kama Tanzania wanafunzi waanze kuandamana kisa mkopo, huyo waziri niliye mteua ajiandae kuondoka”

Naomba kauli na maneno haya yaendane na matendo ya sasa kwa wanafunzi wa vyuo. Lakini kwa utaratibu mpya sasa wa Mikopo kwa wanafunzi, naona kuna walakini katika kutimiza Ahadi ya JPM.

Najaribu kutafakari, tusaidiane kutafakari kwa pamoja kabla ya maafa.

Na Peter Sarungi (Next Speaker, Baba Pilato)
Na Peter Sarungi (Next Speaker, Baba Pilato)

asanteni sana.

Leave a Reply