Kutoka Facebook

FB_IMG_1471582160781Ni zamu ya vijana kushika hatamu! Pongezi kwa Rais Dr. Magufuli kwa kuona umuhimu wa vijana kuanza kuiliongoza taifa hili kwani dunia imebadilika, tunahitaji vijana ambao wataweza kwenda na kasi ya mabadiliko hayo…………Hongera sana Mh. Mrisho Gambo Mkuu wa mkoa wa Arusha mpya!FB_IMG_1471582147172“Hongera sana Mheshimiwa Mrisho Gambo kwa kuteuliwa Mkuu wa mkoa Arusha. Ninakutakia Kila Heri, Baraka na Mafaniko ktk nafasi hii ya kuwatumikia wananchi wa Arusha na Tanzania kwa ujumla. #ArushaNiYetuSote” hayo ni maneno yake Mh. ShyRose Bhanji Mbunge wa East Africa-Tanzania………..picha nzuri sana

Leave a Reply