Makamba ashtukia “Manabii, Mitume” wapya

Screenshot_2016-06-27-10-02-51-1Haya, Mh. Makamba kashtuka! Nafikiri kama juma moja sasa limepita tangu niulize swali la “kizushi” kuhusu hawa manabii / mitume wanaojitokeza siku hizi (soma ? Siku za mwisho! Just thinking out of the box!) Kuwa je ni waukweli au “wakichina”? Na Mr January Makamba. Yeye katupatia mtazamo wake kama unavyo someka hapo juu ?. Je wewe unawaonaje? Toa mtanzamo wako. Kusoma zaidi bonyeza ? Makamba ashtuka

Leave a Reply