Tanzia: Pumzika kwa amani mama Guka

Kwamasikitiko kwa niaba ya familia ya mzee Otieno Igogo tunatoa pole kwa mtoto / mdogo wetu Guka Otieno Igogo na familia ya mama yake kwa kufikwa na msiba mzito sana wa mama yao mzazi. Kama familia naomba mtambue kuwa tumeguswa sana ma msiba huu na dua na sala zetu zipo pamoja nanyi siku zote haswa wakati huu wa maombolezo. Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe milele zote. Kwafaida ya wasomaji wangu, marehemu ni mama yake na mdogo wangu Guka (pichani hapo akiwa na mimi kwa nyuma). Tumawaombea faraja toka kwa Mungu wakati huu wa msiba na siku zote. ??

Leave a Reply