Hongera sana Ravvyn! You have done us proud!!

Tanzania oye eeeeeee! Finally RayVnny ametutoa kimaso maso kwenye dunia ya #wazungu! Nasisi kwa mara ya kwanza, tumetambulika rasmi na kuwekwa kwenye Entertainment industry ya Wamarekani! #BETAwards…… Asante sana kijana wetu, asante sana Watanzania kwa ushirikiano wetu tulio uonyesha na kuleta ushindi huu nyumbani! Viva Tanzania! Viva WCB!

RayVnny, I’m so impressed kuona RayVnny anaongea good English! Safi sana! Yani mimi ni #Zezeta wa nyimbo zako ???

Leave a Reply