Acha kuhisi hisi mambo hasa kama hayakuhusu!

Regrann from @zarithebosslady  -  World's greatest ignorance 'ASSUME' ASS/U/ME assuming makes you and me an ass. ..... let's stop ASSUMING things!!!!! With assuming comes, judging, untruthful accusation and all sorts of things. If you have a functional brain, read through the lines! #Unapologetic  - #regrann  

 Lazima uwe na IQ ya A+ kuelewa huu ujumbe lasivyo utabidi uhisi hisi vitu usivyo vijua undani wake. Kuhisi ni chanzo cha dhambi nyingi! Ndio maana wanasema kuwa HISIA sio kitu cha kuchezea! Mtu anaweza akahisi kuwa wewe ni muhuni na akaweka akilini kabisa kuwa fulani muhuni. Hiyo inamaana wamesha kuhukumu kuwa wewe ni muhuni pasipo na uwakika wa akihisicho!! Mbaya zaidi nipale atakapo anza kuhisisha wengine kuwa wewe ni muhuni #majungu na wao kuamini hisia za uongo! Matokeo yake unajikuta mnahukumu na hata kusababisha kifo cha mtu kwa Kuhisi!! Mungu atusaidie hasa sisi Watanzania tuachane na dhambi ya kuhisi hisi mambo kwani hii dhambi inaitafuna taifa!! 

#World's greatest ignorance 'ASSUME' 

Leave a Reply