Category Archives: animal rescue movement in Tanzania

lazima tusimame na kusema, tulinde na kutetea wanyama!….Join the march for elephants and rhinos 2017!

Tafadhali Watanzania wote wakubwa kwa wadogo, ungana na mabalozi wa wanyama katika matembezi makubwa yatakayo fanyika mapema mwaka huu kupinga ukatili wanaofanyiwa wanyama haswa Tembo na Faru! Hatuwezi fumbia macho issue ya Faru John na wengine wengi ambao wamefanyiwa ukatili na unyama wa hali ya juu na hawa majangili na waujumu uchumi!! Hawa wanyawa siyo tu fahari yetu bali ni sehemu yetu sisi Watanzania! Hivyo hatuna budi kuwalinda na kuwatete kwa nguvu zote!…….. Ukitaka kujua  watu au jamii ina upendo kiasi gani basi angalia jinsi wanavyo ishi na kuthamini wanyama na mimea! Ukiona familia haina hata Paka au hata ka-ua ndani ya nyumba basi jua upendo ndani ya nyumba hiyo umepowa sana! Nilazima tusimame na tuseme, tulinde na kutetea wanyama wetu! Niwajibu wetu kama taifa! Join the movement now!