Category Archives: Uncategorized

Kheri ya siku ya kuzaliwa wifi yangu

IMG-20160612-WA0000-1Kheri ya siku ya kuzaliwa wifi yangu……nakutakia maisha marefu yenye baraka nyingi sana. Happy birthday, much love!

Hot pic of the day

FB_IMG_1465790965556Lupita Nyongo at Tony’sAwards….. looking beautiful as always  ❤❤❤

Mother and daughter moment

FB_IMG_1465737539915❤❤❤❤

A mother’s prayer for her children

FB_IMG_1465792932183-1This is all I will ever wish for my Kids. Despite all the academic lessons they may get from school. I also want them to serve communities……..Maryam’s giving water to our dear fellow Muslims who were just about to break their fast. Muna who is one of the sisters that assists in organizing the Iftar, told Maryam to give away water! Ooohh, THIS MADE ME SO HAPPY. ……May God bless you all who have continuously organized this traditional annual Iftar. ?? Maryam akiwa anagawa maji wakati wa kufungulia… FB_IMG_1465791485452FB_IMG_1465791379045Time like these help us to raise our kids to be humble and to remember we are all human beings despite our colors or religions. It teaches our kids to be humble and kind to people. We are all going to die; we are in the world temporarily.Time like these help us to raise our kids to be humble and to remember we are all human beings despite our colors or religions. It teaches our kids to be humble and kind to people. We are all going to die; we are in the world temporarily.}- Ms. LBFB_IMG_1465791305053FB_IMG_1465791267700May God hear her humble prayer!

Ramadhan & Jumaa Kareem!

FB_IMG_1465357603720Ramadhan AND Jumaa Kareem to all my Muslim readers, friends, and family!…….. Happy Sabbath to my fellow believers!……….Praise the Lord!……….❤❤❤

My attitude today: Out of the abundance of his heart, his mouth speaks

2016-06-10 12.41.45-1

Celebrating June babies! Happy birthday to us!

Screenshot_2016-06-07-13-19-09-1Niliona hii msg kwa Katarani_Karatu nikafurahi kuwa tumezaliwa mwezi mmoja na tunapishana only 4days! Basi nikawa curious kujua ni wakina nani na-share nao birthdays! Nikakuta celebrities wengi sana wamezaliwa June. Nimejaribu kuchukua wachache tuu kwa niaba ya wote waliozaliwa June…..I wish them a very happy birthday to all June babies including myself! We Rock!!…..btw, I used to share birthday with my darling cousin-brother, but he’s no more, (pic below ?) may His lovely soul continue to R.I.P …….ok, enjoy the pics

Late bro. William and I. He was born June 28th
Late bro. William and I. He was born June 28th

Screenshot_2016-06-10-12-02-02-1

Katarina_Karatu, June 22
Katarina_Karatu, June 22
Cousin-brother, Willy, June 9th
Cousin-brother, Willy, June 9th
Screenshot_2016-06-10-08-23-52-1
Vanessa Mdee, June 7th
Khloe kardashian, June 27th
Khloe kardashian, June 27th
Screenshot_2016-06-10-08-22-31-1
TD Jakes, June 21st
Screenshot_2016-06-10-08-21-13-1
TB Joshua, June 12th
Screenshot_2016-06-10-07-53-26-1
Sasha Obama, June 10th
Screenshot_2016-06-10-08-03-35-1
Ice Cube, June 12th
Screenshot_2016-06-10-07-49-54-1
Kanye West, June 8th
Screenshot_2016-06-10-08-05-05-1
Venus Williams, June 15th
Screenshot_2016-06-10-07-54-51-1
Faith Evans, June 10th
Screenshot_2016-06-10-07-50-22-1
Zac Van, June 9th
Screenshot_2016-06-10-07-49-16-1
Iggy Azalea, June 7th
Screenshot_2016-06-10-07-59-36-1
Ash let Olsen, June 13th
Screenshot_2016-06-10-08-03-41-1
North West, June 15
Screenshot_2016-06-10-07-59-26-1
Mar-Kate Olsen, June 13th
Screenshot_2016-06-10-07-45-20-1
Suze Orman, June 5th

Screenshot_2016-06-10-08-05-32-1Screenshot_2016-06-10-07-48-54-1Screenshot_2016-06-10-07-44-58-1Screenshot_2016-06-10-07-44-09-1Screenshot_2016-06-10-07-42-56-1Screenshot_2016-06-10-07-42-42-1Screenshot_2016-06-10-07-39-45-1Screenshot_2016-06-10-07-38-26-12016-06-10 09.10.05Screenshot_2016-06-09-08-52-44-1Screenshot_2016-06-09-08-50-39-1Screenshot_2016-06-09-08-49-58-1Screenshot_2016-06-09-08-50-25-1Screenshot_2016-06-09-08-52-34-1Screenshot_2016-06-09-08-49-31-1Screenshot_2016-06-09-08-49-01-1Screenshot_2016-06-09-08-49-42-1Screenshot_2016-06-09-08-48-27-1Screenshot_2016-06-09-08-49-20-1Screenshot_2016-06-09-08-46-48-1Screenshot_2016-06-09-08-48-41-1Screenshot_2016-06-09-08-46-06-1Screenshot_2016-06-09-08-48-20-1

Lady JayDee, June 15th Lemutuz_nation, June 25th
Lady JayDee, June 15th
Lemutuz_nation, June 25th
Randy Jackson, June 23
Randy Jackson, June 23

Father and daughter moment

Screenshot_2016-06-09-19-25-15-1Nice pic Michael, and Happy 31st birthday Theresa

Posho haikustahili kulipwa kwa Wabunge wanaolipwa mshara kila mwezi- Stephen Mndalila

Screenshot_2016-06-09-18-11-32-12015-04-22 21.13.43Kama wote tulivyo sikia kuwa Naibu Spika amesitisha posho kwa wabunge wote ambao wata sign kuwa wapo bungeni halafu baadaye kususia bunge kwa kutoka nje. Sina huwakika hii formula kama ina apply kwa wale wabunge watoro………basi RC Paul Makonda ali post hili swala kwa Facebook yake na kuomba maoni ya watu! Wengi wamefurajiya na kuunga mkono hoja hiyo. Na mmoja ya watu waliotowa maoni yao kuiunga mkono joja hiyo ni Stephen Mndalila. Naye maoni yake yalikuwa kama yafuatavyo:-

FB_IMG_1465514043663-1I think we need yo think about commonsense solutions! Wanyimwe posho na mshahara kwani kuna wabunge waliokataa kupokea posho na haiathiri maisha yao wala kutekeleza majukumu yao! Kwanza posho haikustahili kulipwa kwa wabunge ambao wanalipwa mshahara kila mwezi! Posho ni kuwaibia watanzania jasho lao! Eti unalipwa posho ya kukaa kwenye kikao wakati unalipwa mshahara na marupurupu? Posho iondolewe kwa kila mbunge na fedha zipangiwe shughuli zingine za maendeleo ya wananchi wengi walio masikini! Tuna jumla ya wabunge 396 na kila mmoja akilipwa posho ya laki 2 kwa siku na kujikimu ni laki moja na 20 kahiyo kwa wabunge wote kwa siku wanalipwa posho ya kukao jumla ya 79,200,000/- milioni 79 kwa kila siku wanapokuwa kwenye kikao! Na posho ya kujikimu ni jumla ya 47,52000/- milioni 47 laki 5 na 20! Mshahara kwa mwezi milioni 8! Awe amechangia hajachangia lolote bungeni analipwa! Kwanini hizi pesa za posho zisiondolewe na zikapelekwa kwenye kujenga hospitali na kununua dawa au kununua madawati au kujenga nyumba za walimu? Ifike kipindi kuwa mbunge ni kujitolea na isiwe sehemu ya kutajirika kupitia kodi ya wananchi labda wabunge watafanya kazi kwa bidii kwa sasa everything look luxury wakati watanzania wengi wanasota na umaskini!

Waachie wenye meno watafune….

2016-06-09 12.50.34Huu ujumbe nimeutoa kwa one of my friends ila sikutaka ku display his name over  here ?? nimecheka halafu ukanikumbusha wimbo fulani wazamani (Mama Maria by Marijani Rajabu) wenye chorus ambayo baadhi ya maneno yake yanasema “hao ndio wenye kukaanga mbuyu tuwaachie wenye meno watafune” ?? ……sometimes vitu vingine unaviona ni vizuri kabisa, tena vinavutia haswa, unatamani kuwanavyo lakini kama ni mtu unaye jitambua ni vyema kusema ndani ya nafsi yako kuwa HAPANA! I can’t afford / handle it! Unaviangalia kwa macho unageuza shingo upande wa pili maisha yanaendelea. Lakini ukijifanya mbishi basi ndo unakutana na “wenye meno”! ……..haya ngoja niwawekee  huu wimbo hapa kama our #ThrowbackThursday

Aliyeandika huo ujumbe ali add na hiyo picha ? I am just curious to know hili “dongo” kapigwa nani?? Japo nimemuuliza muhusika akadai something just got his attention ?? ?????? umbea raha sana kama ukijuwa wahusika LOL! But today let us say to whom it may concern ???

FB_IMG_1465492637383

Fathers: Son’s first hero and daughter’s first love! – part 1

Tunapoelekea kusherekea siku ya wakinababa dunia (June 19th) je, umeshawahi kujiuliza wewe ni baba wa ina gani? Au unataka kuwa baba wa aina gani? Au unamuandaaje kijana wako / mtoto wako wakiume kushika title hii “baba”? Au wewe ni yule mzazi unaye subiria mtoto ajifunze kutoka mtaani halafu siku aikifanya kinyume na matarajio yako unaanza kumgombeza utafikiri ulishawahi kumfundisha njia iliyo sahii!

Unaweza dhania kuwa mtoto wako ni mtoto bora kwakuwa anapata “As” darasani au anapata Academic Awards nyingi lakini kupata A au academy awards hakumfanyi mtu kuwa good citizen wa hii dunia, wala hakumfanyi kuwa a good man / woman, wala hakumfanyi kuwa a good husband / wife, au a good father / mother. It takes more than getting “As”  in class or academic achievements to make your child a greater human being! Don’t get me wrong, Im all for academic excellence achievements thingy, I adore smart and genius people in all type of academic field, but let me quote Aristotle “educating the mind without educating the heart is no education at all”! Mtoto anatakiwa kupata malezi bora! Yes, wapewe elimu ya dunia lakini nilazima mtoto apewe elimu ya kimbingu / kiroho pia ili kumsaidia kuwa kiumbe bora!

Ulisha sikia kwenye news wanasema “she / he was an A student au alikuwa na excellence academic records”  halafu wanashindwa kuelewa ni kwanini ame made a very poor choice ambayo ina m-cost probably for life! Narudia, “educating the mind without educating the heart is no education at all”!!……… Halafu mimi nimeshaona mara nyingi hawa watu amnao wao wana ji-consider ” educated” wengi wao wako so “ignorant” with a chip on their shoulders like they know more than others or they are the best in making good decision(s)! Wakati ukweli ni kwamba hawa watu often their intelligence level is low! Huwa mara nyingi wana make decisions zao based on their friends that they consider to be in the same “level” which; often ina wa cost sana na hata ku destroy their academic achievements that they worked so hard for! Plus most of them wapo insecure na wanakuwa intermediated with people who got talent!

Watu maharufu walio wengi (sisemi wote) ukisikiliza story zao utasikia wakiongelea juu ya mama zao sana au bibi zao upande wa mama kuliko baba zao. Na hii nikutokana na mateso ambayo wamepitia au shida walizo pata kutokana na tabia au life choices ambazo baba zao walichagua! Tyler Perry ni mmoja ya watu ambao baba yake alimtesa sana yeye pamoja na mama yake pamoja na ndugu zake wengine. Kama mnavyo msikia kwenye hizi interviews

Manyanyaso katika familia yapo ya aina nyingi na katika ngazi tofauti haswa kama baba ndiye mwenye kipato kikubwa kuliko mama. Kuna wababa ambao wanatumia pesa zao kunyanyasa familia zao. Yani mambo yake yeye ndio yafatwe hata kama yanaangamiza familia! Au unakuta baba ana hela lakini hataki somesha watoto au kusaidia kitu chochote kile chamaendeleo ya watoto. Kazi yake ni ku-destroy watoto wake financially and emotionally! Wababa wa aina hii mara nyingi wanakuwa very addicted na hii tabia kiasi yakwamba hataki kuona watoto wake wanafanikiwa na kitu chochote especially kuwa na financial freedom ili tu aendelee kuwanyanya! Ushaona wababa ambao behind the science wao ndio wana destroy watoto zao?! Na huwa ni ngumu sana watu kuamini haswa kama wamefanikiwa kutengeneza mazingira fulani yakuaminika katika jamii! Inahitaji watu makini sana kuelewa watoto ambao wako kwenye mikono ya wababa wa namna hii!

Basi unapoangalia hizi videos za interviews zake,  kama wewe ni baba tafakari je ni baba wa namna gani na unampango gani kubadilisha mwenendo wako kama mwenendo wako unafana na wababa yake na Tyler Perry. Nakama ni baba mtarajiwa je unajiandaaje kuwa baba mwema? Na kama ni mama au baba mwenye mtoto wa kiume je unamuandaaje kijana wako kuwa mwanaume na baba bora katika jamii!……. Kuna wa baba walio wema wazuri kuliko hata mama hao tutaongelea siku nyingine!

Mimi ni Kipepeo-Nuya Helen Dausen

FB_IMG_1465433625996Nuya Hellen Dausen ( @nuyahellen ) mmoja kati ya Watanzania wawili waliotajwa na jarida la #FORBES kuwa mjasiriamali mwenye umri chini ya miaka 30 (Forbes 30 Under 30) leo amezungumza katika #Clouds360 ya #CloudsTv. Akizungumzia hatua alizopitia Nuya amesema ailianza biashara baada ya Kutoka Marekani kupata mafunzo ya Uigizaji na kujikuta hana kazi kwa miezi 8 na ndipo akaanza Biashara ya vipodozi vya asili.

Nuya ambaye amesoma Masuala ya Filamu na International Trade anasema “Nilianza ‘kugoogle’ na kuangalia video YouTube ili nijifunze kutengeneza vipodozi. Nilianza kutengeneza lakini nikawa nakosea. Baadae nilipata Mwalimu huko Malaysia. NIlikwenda Malaysia ambapo nilikuwa sijui mtu huko lakini nilikutana na mwalimu wangu ambae alinifundisha vizuri nikarudi nyumbani kuendelea na biashara yangu”.

Nuya anasisitiza kuwa “Mimi nilianza kuangalia biashara hii kwa nchi za wenzetu, wao wameanza Biashara hii miaka mingi na “they are making a lot of money” Mimi niliona #Fursa huko nikaishika. Kwa Forbes kunichagua kwenye list yao, wamenihakikishia kwamba kweli ninaweza kufanikiwa”.

#Forbes wamemtabiria Nuya Hellen Dausen kwamba ndani ya Miaka 20 ataweza kutengeneza takribani Dola Milioni 200. Yeye mwenyewe anasema ataweza kupata pesa hiyo kabla ya miaka hiyo.(Sababu yeye ni #Kipepeo Anajitambua, Hana wasiwasi na Safari yake pia Anajisimamia)

Source and Credits to Clouds Media Screenshot_2016-06-09-09-52-06-1

Nuya Hellen Dausen ni msichana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 29 ambaye ametajwa kuwa miongoni mwa vijana 30 wa Afrika ambao ni mabilionea wa siku chache zijazo.

Jarida la Forbes ambalo ni maarufu kwa kutoa takwimu na ripoti mbalimbali za watu na pesa zao, watu na harakati zao lilimtaja Hellen na Mtanzania mwingine mmoja aitwae Edwin kuwa ndio watanzania pekee kwenye list hiyo ya Mabilionea 30 ambao watakua mabilionea baadae na kuajiri maelfu ya watu.
Mbali na Watanzania hawa mabilionea, pia kutana na mastaa wengine kutoka Tanzania kwenye Inside Bongowood, Jumanne saa 15:30 kwenye Maisha Magic Bongo
Hellen ni bilionea wa siku chache zijazo lakini pia ni mtu anaependa burudani japokuwa ana zaidi ya mwaka mmoja hajawahi kwenda night club.
1. Anasema toka ameanza kuwa mjasiriamali amekua na mawazo ya tofauti na hata msukumo wa kustarehe sana kama kutoka kwenda night club umepungua kwa kiasi kikubwa, kila siku anawaza anapigaje hatua za keshokutwa.
2. Miongoni mwa wasanii ambao anasikiliza sana nyimbo zao ni pamoja na Vanessa Mdee kama Nobody But Me, Niroge na Nitajuta ya Yamoto Band.
3. Starehe yake kubwa ni kwenda ufukweni ambapo anasema, “Napenda sana kwenda kulala beach, nitalala hata masaa matatu na inanisaidia kupata mawazo mapya au kuyajenga niliyonayo.”
4. Series ambayo amewahi kuitazama na hatoisahau niPrison Break, ni series ambayo hata akiambiwa arudie kuitazama hatokataa japo ametazama series nyingi, hiyo ni namba moja kwake.
5. Channel ambazo huwa anazitazama sana kwenye King’amuzi cha DStv ni pamoja na E! na MTV Base.
source: Dstv.com

My attitude today: Exist on your own terms!

2016-06-08 21.22.46

Hot shot of the day

FB_IMG_1465435868405watoto wote ni wazuri, I mean hakuna binadamu mbaya. Lakini lazima tukubaliane kuwa kuna wengine Mungu aliwaumba kwa upendeleo zaidi!! What a cute baby boy! Look at those eyes, lips, eyebrow, I mean this baby is Dope!…. Hivi huyu akiwa mwanao hata Daycare utakubali kumuacha kweli ?? Yani roho yako itakuwa juu juu kama marehemu mtarajiwa ??? Halafu mtoto kama huyu ananoga zaidi kama mambo ya dolla nayo yametulia ati!

Nimeona kuna mtu kauliza watu Facebook kuwa je huyu angekuwa mtoto wako ungempa jina gani? Mimi kama angekuwa wangu ningemwita Micah (which means, “who is like God?” In Hebrews) au ningempa Gabriel  (which means “God is my strength”)

Mungu amlinde huyu mtoto na mapepo yooote ya hii dunia ??

“Mwanaume bora havai mlegezo (sag trousers)”

Kama wewe ni mwanamke na haujaolewa na upo kwenye mauhusiano na mwanaume ambaye haujafunga naye ndoa basi zingatia hili, linaweza kukusaidia na kukupa nuru nzuri ya ndoa bora yenye tija katika maisha yako ya mauhisiano.

Chagua mwanaume bora kwa kutizama utashi wake na mawazo yake chanya, mwanaume bora ni yule aliyekuzidi utashi, tabia nzuri pamoja hekima na busara na mwenye mapenzi ya dhati kwako.

Mwanaume anayekufaa ni yule anayekujali na kukuheshimu, mwanaume bora ni yule anayekupa mawazo ya kesho akiwa leo,mwanaume anayekufaa ni yule anayekufuta machozi na asiyekuliza kila siku.

Dada yangu tafuta mwanaume ambaye ni kichwa ili wewe uwe shingo sababu hakuna kichwa pasipo shingo.

Tengeneza mwanaume wako bora, anza naye kwenye maisha ya chini mkipeana faraja na matumaini ya kutengeneza ndoa bora na yenye mafanikio ya kipesa, na mauhisiano yenye afya yaliyo na mapenzi matamu na bora, usipende wanaume wa wanawake wenzio mtengeneze handsome wako.

Dada yangu achana na mabrothermen wanaopaka poda ,wanawanaotembea na selfiestick hawana tija, mwanaume bora havai mlegezo (sag trousers).

Mwanaume bora hata kama hana pesa daima huwa na hazina ya mawazo na ndoto zenye matumaini ya kuwa na future nzuri baadaye.

Achana na wanaume maarufu wengi wao hawana mapenzi ya dhati wanapenda kuwatumia wanawake kwa tamaa zao za mwili.

Dada yangu mimi nakupenda na natamani uwe na ndoa bora na uchague mpenzi bora, mpende mpenzi wako kwa moyo wote achana na zile kauli za wanaume wote wanafana.

Muombe Mungu akupe mume bora na wewe uwe mke bora sababu mke mwenye mapenzi ya dhati huwa anabeba baraka za mafanikio ya mume wake …Tafakari mauhusiano yako yapoje ….Jarida la Bahari lina wazo bora juu yako kaa mkao wa kura ili ulisome kwa kufurahia hazina ya maarifa na Burudani.

Wakati ni sasa sio kesho acha kuwa na idadi kubwa ya wanaume, chagua mwanaume wako mmoja bora, pia achana na utamaduni wa kuchat na ma ex.wako .

Tengeneza mume wako bora achana na wanaume wadhaifu na wasio na tija kwako chagua wanaume bora kwa sifa za ndani na sio kwa ubora wa nje.

“If a girl ever steals your man, there’s no better revenge than letting her keep him. Real men…can’t be stolen.” FB_IMG_1465443306537

Credits: Benjamin James #Bahari

A word of wisdom: WHEN TO BE SILENT . . . The Bible

1. Be silent In the heat of
anger – (Prov 14:17)

2. Be silent When you don’t
have all the facts – (Prov
18:13)

3. Be silent When you
haven’t verified the story –
(Deut 17:6)

4. Be silent If your words
will offend a weaker
person – (1 Cor 8:11)

5. Be silent When it is time
to listen – (Prov 13:1)

6. Be silent When you are
tempted to make light of
holy things – (Eccl 5:2)

7. Be silent When you are
tempted to joke about
sin – (Prov 14:9)

8. Be silent If you would be
ashamed of your words
later – (Prov 8:8)

9. Be silent If your words
would convey the wrong
impression – (Prov 17:27)

10. Be silent If the issue is
none of your business –
(Prov 14:10)

11. Be silent When you are
tempted to tell an
outright lie – (Prov 4:24)

12. Be silent If your words
will damage someone
else’s reputation – (Pro
16:27)

13. Be silent If your words
will damage a friendship
– (Prov 16:28)

14. Be silent When you are
feeling critical – (James
3:9)

15. Be silent If you can’t say
it without screaming it –
(Prov 25:28)

16. Be silent If your words
will be a poor reflection
of the Lord or your
friends and family – (1 Pt
2:21-23)

17. Be silent If you may
have to eat your words
later – (Prov 18:21)

18. Be silent If you have
already said it more
than one time – (Prov
19:13)

19. Be silent When you are
tempted to flatter a
wicked person – (Prov
24:24)

20. Be silent When you are
supposed to be working
instead – (Prov 14:23)

“WHOEVER GUARDS HIS MOUTH AND TONGUE KEEPS HIS SOUL FROM TROUBLES” – (Prov 21:23).

“BE STILL, AND KNOW THAT I AM GOD” (Ps 46:10).

Source: one of my friends on Facebook

Service to others is the rent you pay for your room here on earth ~~~~~~ Muhammad Ali

Screenshot_2016-06-07-17-13-11-1

The strength of woman……

Screenshot_2016-06-06-20-49-36-1-1

Hot shot of the day

FB_IMG_1465304630400ShyRose Bhanji, looking calm and collected in her Arabic / Muslim attire….. kapendeza sanaaaaaa………… Ramadhan Kareem Muheshimiwa

Do not mix work with family!

FB_IMG_1465267345526

Source: Dr Ben Carson