Category Archives: Uncategorized

Choose your friends wisely!

FB_IMG_1466092335352-1Dunia ya sasa ni ngumu sana kuamini watu baki au hata ndugu. Watu wenye roho za “kwanini” ni wengi mno! Na huwezi wajua mpaka upige hatua moja mbele yao ndio utajua kama kweli ulikuwa na marafiki au maadui! Utajua kama huyu ndugu anafaa kukaa karibu yangu au tuwe tunawasiliana kwa “remote control”! Screenshot_2016-06-16-01-25-04-1Mrs Obama said it well!!…….Ukiona ndugu au rafiki yako hawezi ku-appreciate au kufurahia maendeleo yawengine; basi jua wewe hapo ulipo hamna ulicho mzidi ndomaana anakupenda!! Na siku ukapiga hatua moja mbele basi atakusema, atakusengenya, na kukujengea majungu ya kila aina kama anavyo fanya kwa wengine! Kama una rafiki au ndugu wa namna hiyo MUOGOPE KAMA UKOMA!!Kaa mbali na watu wasiopenda na kufurahiya maendeleo ya wengine! Hao ni maMbwa Mwitu waliovaa ngozi ya Kondoo!! Kuna ndugu na marafiki wakweli ambao wao mwingine akifanikiwa ndio furaha yao. Ila ni wachache sanaaaaaa! Omba Mungu akupe watu namna hiyo kama bado hauna hata mmoja! Just choose your friends wisely!!

Kamata mwizi!

IMG_20160616_105355Kihoja cha mwaka! Usikuzi wa kuamkia jana kwenye Facebook account ya my sister nikaona amepost picha mbili za kijana fulani wa kiume ☝Nikajiuliza ni nani maana sura yake ni mpya kabisa machoni pangu………sasa kuangalia vizuri naona kuna one of our family friends ame comment kuwa “hongera kwa kukuza mdogo wa mie”! (Tazama hapo ?) 2016-06-16 11.00.42Mmh! Kitu cha kwanza nikajiuliza kichwani mwangu is; does my brother in law fathering a child somewhere, so by my sister posting his pictures is like her own  way of accepting  the situation? ?? mwe!….. basi nikasema ngoja nimuulize kwenye watsup yake. Eeh! Nisikute profile picture ya watsup ni ya huyu kijani ?? nikamuuliza my sister huyo ni nani? Mpaka leo asubuhi alikuwa hajanijibu ?? nikaamua kumuuluza mdogo wangu kama anamjua  (tazama ?) Screenshot_2016-06-16-09-22-51-1Kamata mwizi!! Huyu jamaa Kaiba simu halafu akili hana hata za kubadilisha number kabla hajatumia ?? anaanza kubadilisha picha wakati simu kaiba?! Mwe!!……kajisemea mdogo wangu kuwa wezi wa Geita siyo kama wa Daslam, IQ=zero!??? anyway my sister kanunua simu, na shemeji yangu anamfatilia huyu kijana kwa kutumia police. But it’s so funny!! Inaelekea huyu ndo mara yake ya kwanza kuiba na hajawahi kuwa na smartphone ???

Cheka unenepe: “The generation of fake busy”!

FB_IMG_1466092208798???? how true!……too many fake people nowadays! Yani ‘fakelicous’ people wapo katika level zote za maisha!……. ushawahi kuona wale watu ambao kila siku ukikutana nao au wao tu ndo kila siku for some annoying reasons hawana number yako ya simu halafu wewe you still have their number sijui for how many yrs? Yani mie nikishakupatia number yangu twice halafu tunakutana tena unasema huna number yangu?! Just forget about me! Kwani sitokaa nikupe tena my phone number as it’s clearly we ain’t suppose to communicate!! Navile huwa si mpenzi wa kuongeza kwenye simu basi unakuwa umenipunguzia mzigo! Maana I will delete your number the minute I am done talking to you!. …anyway we are living in a generation of  “fake busy” and fake everything! Watu wana fake hata kumpenda Mungu ??

Hot pic of the day

photoBella, Mrs Twaakyondo kama kawaida yake, kapendeza sana! Natural look yanguvu!

Kwakweli mimi huwa napenda and I admire a lot wadada ambao wanaweza kupendeza with very minimal or no makeups at all! Kuna wengine lazima tupake makeup kwani chunusi zimeharibu ngozi zetu, lakini nafikiri ku-over do makeup siyo powa kabisa! Kama unaweza ku-maintain your natural look then do so please! Kwani hiyo inaonyesha kuwa una confidence of who you are, unajikubali, na kujithamini!

Too much makeup and accessories kwa mwanamke yeyote yule (educated or none educated, rich or poor) inaonyesha lack of confidence, insecurities, plus demanding for attention! Pia kwa wale waliosomea mambo ya communications basi utakuwa umejifunza kitu kinaitwa ‘noise’. Mtu unavyo vaa na kujiremba inaweza ikawa kama “noise pollution” kwa wengine  kwani wataacha ku-consecrate na wewe as individual or your msg na akili zao zote zikawa kwenye mavazi yako au mapambo yako. Sasa hapo ndipo unapoweza send a very wrong msg kwa wengine haswa wale wenye ‘judgemental’ mind set! Mimi binafsi my brain doesn’t function properly kwenye nyumba yenye too much bright / crazy colors. Yani huwa napata headache kabisa, na huwa nasema kwa wahusika. Sema huku Marekani watu wanaelewa ingekuwa Bongo ndo unasikia watu wanasema “anaringa sana” ??

Anyway, Bella kapendeza sana!….. Soma post za nyuma kuhusu Bella kwa kubonyeza ?

Mrs Twaakyondo

Do not lose the value of the moment whilst foolishly focusing on tomorrow!

OUR FUTURE IS DETERMINED BY OUR ACTIONS OF TODAY: Do not lose the value of the moment whilst foolishly focusing on tomorrow.

Most of us are busy chasing after tomorrow whilst disregarding today. Tomorrow is like a seed and we have to understand that inorder to preserve our future, there are certain actions that we have to be willing to do TODAY. Remember the story of the woman with the issue of blood (Mark 5 vs 27-28)? In order for her to preserve her future she had to be willing to crawl and touch the garment of Jesus (at that moment). Her journey started from behind the crowd. She was behind but she was not discouraged by her placement. She was confronted with a crowd of people who were all trying to get to the same Jesus she wanted to get to. The traditions of this woman’s society required a woman with an issue of blood to stay indoors because she was ‘unclean’. After waiting for twelve years and hiding in the shadows, using all her money on doctors, she probably said to herself, ‘enough is enough. I am tired of pain and shame.’ She set her own agenda for change and began a process that totally transformed her life. We all may be having a lot of issues that we are facing TODAY which may be a hinderance to our future but let us ask God to give us the courage to pay attention to the moment and face our problems in the presence of God so that He can preserve our FUTURE. There are several issue’s that may be affecting us, issues of hatred, confusion, addiction, rejection, frustration, jealous, pride, selfishness, and so much more, But what we have to understand is that to preserve our future we have to first be willing to get rid of the issues hindering our TODAY. We have to understand that whist we choose to remain stuck in our current issues, we are potentially threatening our future.

Although this woman with the issue of blood was weak in strength, because when you bleed you become anaemic, lack of oxygen, She did not make excuses. Our Issues need to be dealt with is a heist for the benefit of our FUTURE. Alone we can not do it ,let us seek enlightenment from God in His presence through prayer and meditation of the word.

She preserved her future by overcoming:

1. Long-term disappointment

2. Physical weakness

3. Personal embarrassment

4. Society’s rejection

5. Physical barriers: the crowd of people FB_IMG_1466088301826Prayer: Dear Lord, please help me to press through all obstacles until I am in connection with your power.

6 ways to raise a son who will respect women

The status of a woman is different around the world. There are countries and places where men do not respect women at all. The sad thing is that a mother who knows how it feels when no one respects you raises a son who, in turn, offenses other women, including his mom.

That is why feminism is so popular these days. Feminism is not about hating men. It is about respecting every woman no matter her age, race, nationality or religion. If you have a son and want him to grow up to be a real gentleman, check out the following six ways to raise a son who will respect women.

1. Share your success with him

Your son should know that a woman has the right be as successful as a man. She has goals and enough power to reach them. You do not have to be a wealthy businesswoman to share your achievements with your son. You are already a successful mother so let your son know it as often as possible.

Talk about other successful women from different parts of the world so that your son knows that race or religion does not matter. Plus, let him know that every woman has the right to choose her lifestyle – some strive to reach high career goals while other prefer to be stay-at-home moms.

2. Do not talk bad about his father

Whether you are married or divorced, never talk bad about your son’s father. Your son should realize that women respect men too. Try to avoid fighting when your child is home. If your (ex) husband does not respect you and you can do nothing about it, it does not mean you should hate him too. Remember, you are a role model to your son. Let it be. When he grows up, he will understand that his dad was not right.

3. Discuss the women’s rights

Maybe not each day, but once in a while, it is crucial that you and your son talk about the women’s right openly. Start with the history. He should know how women struggled for gender equality in the 20s, and if you have a teen son, how many women are suffering from rape and abuse.

These topics are not the most interesting ones, but discussing them regularly will help you raise a son who will respect women regardless of anything. But make sure your son does not feel guilty for being male. Let him know that some men suffer from gender equality as well.

4. Avoid pursuing his whims

I know you love your son and want to make him smile and happy every second, but pursuing his whims is a surefire way to raise a son who will be sure that women must do anything to satisfy men’s whims and needs. No way. Know when to say no, ignoring whining and tears.

5. Do not talk bad about other women

You may hate the way your female coworker dresses on the daily basis, or you may not like your husband’s mom, sister or aunt. It is your problem. Your son should not hear how you judge them. Otherwise, he may think that some women are good while others do not deserve to be respected. Keep your emotions under control, at least when your son is around.

6. Get him involved in household chores and tasks

Mothers rarely ask their sons to help them with cooking, cleaning, and other household chores, especially if they have daughters. You and your husband should set an example and show your son that a man and a woman are equal when it comes to household chores and tasks. If you have a daughter and a son, make sure you do not serve your son or your daughter. Get them both involved in household chores. a man truly a man-1

Source: Womanitely

God intends for us to bring out the best versions of each other-Pastor Devon Franklin

FB_IMG_1466007803488While God created you as a complete being unto yourself, He also created man to be your partner, the one who brings out the very best of you. That’s not the same as needing a man to complete you. God intends for us to bring out the best versions of each other. Your husband is your partner in purpose. He’s the person God put on your team, and the two of you are supposed to hold each other accountable, hold up a mirror to each other, be each other’s cheerleader, and help each other accomplish your individual and collective purposes. #TheWait  FB_IMG_1466007786207

Happy birthday The Living Legend, The Queen, Lady Jay Dee

Screenshot_2016-06-15-08-04-43-1

FB_IMG_1465995896691Wow! What a powerful msg! You are  a real Komandoo! The Queen! The Shero! The living Legend! Happy birthday to you. Wishing you the best in everything you do!

Words of wisdom: Nobody has ever gone up by bringing others down!

FB_IMG_1465971587120

Mother and daughter moment

photo-1Jamani wamependezaje!! Mama Kimati na binti yake Mrs Nyongo katika ubora wao ndani ya jiji la Sydney, Australia. Mama Kimati yupo huko kwasasa akimtembelea binti yake……… wamependeza, wanavutia sana! Mbarikiwe sana ❤❤❤

Kusoma post zilizopita juu ya Mrs Nyongo  bonyeza ?

Mother and daughter moment 

2015-Hottest And Best Couple Of The Year

Mrs and Mrs Nyongo 

The Nyongo’s Family 

My attitude today: We don’t see things as they are, we see them as we are!

2016-06-14 20.33.38

Who raised them? The todays generation!

Your children will become who you are; so be who you want them to be! I wish many parents could realize how impressionable their children are and start to lead by example! Unawaambia wanao wapende watu wote wakati wewe hata kuonyesha upendo kwa wanao ni shida! Kids mimic their parents, they may not listen everything but surely they watch every single move! FB_IMG_1465746598930You may know their parents but the question remains “Who raised” them?!

 

Hot shot of the day

FB_IMG_1465865275135The Queen herself! Looking Hot! ❤❤❤

Father and daughters moment

FB_IMG_1465951171184Mzee Kachare akiwa wodini akifarijiwa na Mpwa wake kipenzi Clara Masanja (wapili kulia), binti yake na first born wake Esther Ephrahim Kachare (kulia), na last born wake Neema Kachare………..ugua pole mzee Kachare and you all be blessed!

Precious at her best!

photo-2wow! Precious how do I miss you gal! Looking beautiful as always! ……..my dear readers, I’d you are a regular visitor of this blog should know Precious. But for the benefit of new readers Precious is a daughter of my darling, loving, and true friends Mr and Mrs Ongwela of Kalamazoo, Michigan. IMG-20160611-WA0002She is such adorable smart little girl! I love her so much! She is a self-tutor skater, doing  it at the best level you can ever imagine! She got lots of talents…..I love her so much, may God continue to be with her! ❤❤❤

Tuko nyuma ya Rais-M.M Mwanakijiji

Baadhi yetu, tunaoamini katika mabadiliko ya kweli tuko nyuma ya Rais Magufuli kwa sababu tunaamini anaongoza na siyo kutawala tu. Kama kiongozi, anaonesha njia, ameweka malengo na mwelekeo anautaka na anatuongoza kuelekea huko. Kama mtawala angeweza kabisa kuendelea na ilivyokuwa na mambo yale yale akikubali kusukwasukwa na mawimbi ya maoni na mawazo ya kila namna kutoka kila kona. Lakini yeye kama kiongozi anajua anataka kufanya nini.

Tayari tunajua msimamo wake kuhusu matumizi mabaya ya fedha za umma na madaraka. Tunajua maono yake kuhusu tatizo la msingi za la nchi yetu – na tunajua suluhisho lake kubwa ambalo alilipendekeza katika muda wote wa kampeni – “hapa kazi tu”.

Kuna wakati wa siasa na porojo na kuchangamsha genge. Chini ya Magufuli porojo, siasa na kuchangamsha genge havitakuwa na nafasi kubwa kwani sasa tunaelekea kuanza kujenga upya taifa letu, na inaonekana tunaanza kujenga kuanzia chini tena kwani tulifikiri tumefikia mahali pa kupaua na kugundua kuwa misingi yenyewe haikuwa sahihi au imebomolewa.

Tunasimama nyuma ya Rais kwa sababu tunatambua kuwa jambo kubwa kabisa ambalo analisimamia na limeelezwa vizuri na Makamu wa Rais – Bi. Samia Suluhu Hassan – jana ni kuwa kazi yao kubwa ni kuleta nidhamu. Na nidhamu inasumbua. Kuwataka watu wakae kwenye mstari wakati wamezoea kuchomoka chomoka ni kazi sana hasa kama kule kuchomoka chomoka kulikuwa kunawafanya waishi mjini. Tunaunga mkono nidhamu hii kuanzia ya matumizi ya fedha, matumizi ya muda, na matumizi ya raslimali zetu; nidhamu ya matumizi sahihi ya vipaji na vipawa vyetu, ujuzi wetu na uwezo wetu. Nidhamu hii kuirejesha na kuidumisha kunahitaji uongozi unaotambua kuwa – kama wanamuziki walivyoimba zamani – “nidhamu ya kazi ni msingi wa mafanikio mema kazini” ndio njia pekee ya kuweza kujenga jamii ya watu waliofanikiwa.

Tunatambua bila nidhamu ya kweli juhudi zote za kujiletea maendeleo zitakwama. Tunasimama nyuma ya Rais kwa sababu tunaamini kuwa kwa wakati huu na zama hizi mpya Tanzania inamhitaji kiongozi ambaye siyo tu anajua anachotaka kufanya lakini pia anaonesha namna ya kufanya yeye mwenyewe.

Tunatambua pia kuwa kiongozi baada ya kusikiliza maoni na mapendekezo mbalimbali mwisho wa siku ni lazima aamini katika uwezo wake, malengo yake na uthubutu wake wa kutenda na kusimamia kile anachotaka kufanya. Magufuli hadi hivi sasa anafanya kazi nzuri na yenye kustahili pongezi kwani kwa mara ya kwanza tunaweza kuona ni jinsi gani taifa lilikuwa limedeka na kudekezwa katika namna fulani ya maisha kiasi kwamba ikawa ni starehe. Starehe hii sasa imeisha na watu wanatakiwa kuamka na kufanya kazi kwa mujibu wa sheria, taratibu na uongozi.

Kiongozi anatakiwa kuongoza na siyo kufuata; Magufuli sasa anaongoza. Tuko nyuma yake, tunamuunga mkono! Na binafsi naamini anaongoza kidemokrasia zaidi wakati huu kwani anatumia ipasavyo matokeo ya uamuzi wa kidemokrasia kufikia malengo yake ya kampeni.  FB_IMG_1464744278669Go Magufuli Go!

Beauty is in the eye of the beholder: Mrs Twaakyondo katika ubora wake!

photoBella Ayugi, Mrs Twaakyondo katika ubora wake. Hapa akiwa kwenye ufukwe wa bahari akipunga upepo. Kapendezaje sasa! Too cute! Hips don’t lie ?? A real African Queen must have a “curvy” body ??

Watu huwa wanasema kuwa “beauty is in the eye of the beholder”! Truly agree with this! Kuna watu ambao wanafikiria kuwa mwanamke mwembamba ndio mzuri haswa today’s society hii ya Instagram na Snapchat! Nakuna watu ambao tunaona wanawake wenye mwili wa wastani ndio wazuri, na kuna watu ambao wanaona ‘over size’ women are more beautiful!

But ukweli ni kwamba the real beauty is  all about attitude and confidence that one possesses! And true beauty comes from within! Unaweza ukawa “kimbaumbau mwiko wa pilau” Lakini your attitude, confidence, and character tells something else!…….My personal opinion and I believe many will agree with me is that, any woman (regardless of her size) will look beautiful and attractive if you have positive ‘maturity’ attitude, confidence and yet humble, and a kind heart! Yani, wewe hata kama una vaa size zero lakini roho yako ni yakishetani shetani basi watu hawato ona your body figure bali the devil that is dwelling in you!!……Btw, wataalam wanasema curvy figures are the best in bed and the best romantic partners ???

Jipende jinsi ulivyo! Jikubali na ujithamini wewe mwenyewe! Bado nasisitiza “A real African Queen must have a curvy body” ??

To read other post about Bella click links  ?

Bella_Homecoming, Mrs & Mrs Twaakyondo

Bella Ayugi

Hii ni miguu ya yule mama ambaye amekuzaa!

Hii ni miguu ya yule mama ambaye amekuzaa na kukulea handsome wewe unayeng’aa na kuzungusha round ya laki na ishirini huku mkononi unazungusha kiufunguo chako cha alteza uliyokopa baada ya kumaliza miezi sita ya probation hapo ofisini kwako!! FB_IMG_1465828699359Miguu ambayo ilihangaika kwa kuuza pombe, maandazi, na kutembea kilometer 20 kwenda shamba alime ili wewe upate ada iliyokusaidia primary, ukafanikiwa kuingia sekondary na hatimaye chuo kikuu!!

Ni miguu hii hii ambayo bado ipo katika hali hii hii ikimaanisha ule ugumu wa maisha uliokuwepo katika kukuhudumia wewe bado upo wakati tayari una nafasi ya kuweza kumuhudumia mwanamke huyu aliyekuleta duniani unamsahau unahudumia mimwanamke inayotaka kula bata kila siku! Kama umeweza kuzungusha round basi unaweza kuturn around maisha ya mwanamke huyu aliyekufikisha hapo ulipo!!

If you still have your mom, if you still have your parents, time is now usisubiri mpaka ziwe nyingi ndio uweze kuwahudumia, let them be proud of you now, today, Because utapokujarealize umuhimu wao! It might be too late and when you look back at your success and accomplishment, there will be an empty space in your heart, no meaning! Loneliness and lifetime grief! This is to all our precious mothers and the hustle they went through to make us what we are today!!

My attitude today: Embrace yourself!

2016-06-13 08.16.15

Be A real Man & show that Not all men are sexual perverts

Some girls are so used to being used that they can’t even receive love or compliments without thinking there is a hidden agenda of sex behind it. To sleep with or take advantage of such girls is easy because they are vulnerable. But a real challenge for a man is taking one of these girls who has been abused verbally, sexually, or not had a father in her life and then loving her unconditionally and building her up and making her feel like she is the most special girl in the world. Some girls just need to be led to the mirror mentally and emotionally and shown their true worth and beauty. Fellas, Learn to build such women up without asking for something in return. They need someone to show them the Jesus type of love. No strings attached. FB_IMG_1465820749110The biggest temptation i face on a daily basis comes from broken girls who come looking for help. Many of these girls have not had a father figure in their life who loved them and protected them unconditionally. Many of them have never seen what real love from a man can be like. All they have known is men who have abused them verbally, sexually or emotionally. So when they come looking for help, many of these girls are shocked when they notice i give them my help unconditionally. Most feel like they ought to give something in return. They are suprised to discover that there are men out there who want nothing from women except to build them up. Not all men are crooked. Not all men are sexual perverts. Pastors and other counsellors please don’t take advantage of vulnerable women who are wounded. Don’t slaughter them but lead them to Christ for inner healing. Let’s be the man and change the world.

Source: Get-inspired by Ti-Sha