Dare not to miss it!…….Hii si yakukosa!

screenshot_2016-12-11-11-13-41-2Awiii! Hii?!! Aaah! Ukipitwa basi wewe 2017 itakuwa imekula kwako sanaaaaa! Yani fanya juu chini usipitwe na hii event! Nunua ticket yako sasa. Si mmemuona “Wifi” yangu Saida Karoli ndani ya mjengo!! Basi usikubali  kupitwa hata chembe!……..Nyie Wahaya hakikisheni mnaniwekea VIP seat na parking space ?? Sasa mnafikiri watajuaje “Mjaluo” nipoooo??!! Mkipenda vya Ujaluoni sharti mjue kuzichanga hizo $$, Ujaluo gharama ????

Leave a Reply