Dondoo za kuuweka mwili wako fit

Haya sasa nitakuwa nawaletea dondoo za kujiweka sawa kimwili kutoka kwa watu tofauti tofauti ambao nitaaona kuwa wanastahili 😉 ……….. Haya leo nawaletea huyu dada, kwakweli simfahamu but I normally check her Instagram kwani huwa ananifurahisha jinsi anavyo jiweka Ain’t she cute! Yani mie nataka nipungue but sitaki hatasikumoja kuwa kama “mode” yani mwili fulani kama wa huyu dada na sio chini ya hapo. Halafu simnajua Muhaya anapenda nyama ya mifupa au mifupa ya nyama ?????? inshort kila mtu ni mzuri kwa style yake but wembamba siyo wa kila mtu kama ulivyo unene. Kuna watu wanajikondesha wanapungua hata ukimuaangalia mvuto hakuna kabisa! Na kuna wanene ambao wanapendeza sana na unene wao jinsi walivyo. Just figure out who you are ndio utaweza kujua unataka unene au wembamba. But in all usiwe OVERWEIGHT or UNDERWEIGHT!

Leave a Reply