“Eliminate the clutter from your life ladies…!”

Haya ujumbe kwa single ladies ambao wanatamani kuwa na “King” katika hemaya zao ?? Mnaambiwa hivi msipende kuongozana sana na wanaume au kuwa kwenye makundi ya wanaume pale mnapokuwa mnakwenda outing kwani wakaka ambao hawajaowa watashindwa kuelewa kama upo mwenyewe /single au umeshachukuliwa! Hata kama ni kaka zako usiwe unatokanao mara kwa mara as wanaume watakuogopa ? (nimekoleza tu). …………Mpendwa usijizibie bahati yako kwa kuongozana na marafiki wakiume kila wakati 😉 😉 

Leave a Reply