Furaha ya dunia

Wahenga walisema furaha ya dunia watoto! Na hakuna kitu kizuri kama kuwa mtoto maana huna bills zozote zile za kulipa, yani wewe kazi yako ni kula, kucheza, na kulala. Kazi ngumu ni kucheza  kama unavyo waona watoto hawa walivyo busy na michezo na pozi katika picha. Mungu awalinde na azidi kuwabariki wa toto wote.

FB_IMG_1429666683996IMG-20150421-WA0000IMG-20150421-WA0001

Leave a Reply