Kama hujaelewa sakata la TRA soma hapa ?

Najua kuna baadhi ya watu ambao hawajaelewa nini haswa kimetokea na imekuwaje mpaka kitokee. Basi niomeona ni share nanyi hii post ya “Le mutuz” kwani ameandika kwa lugha nyepesi sana ambayo mtu yoyote yule anaweza elewa. Soma ? Screenshot_2015-11-29-15-34-54-1Asante sana Le mutuzu kwa ukarimu wako. Kwani upeo wa watu kuelewa na kuchambua mambo tunatofautiana; hivyo tunashukuru watu wenye “akili kubwa” na waungwana kama wewe ambao hukumbuka wengine!Screenshot_2015-11-29-15-33-57-1pichani ? ndiye aliye kuwa Kamishina Mkuu wa TRA Mr. Bade! Pia wakati huo huo inasemekana kuwa kamishna mkuu mwingine upande wa forodha ajulikanaye kama Tiagi Masamaki anamiliki compound ambayo ukubwa wake ni sawa na kijiji hikp maeneo ya Pugu! Hiyo compound imezungushwa ukuta kote na ndani yake kuna nyumba 73 ambazo amepangisha watu mbali mbali.  Nyumba hizo zipo kizuizini kwa sasa na serikali imewapa wapangaji wote miezi mitatu (3) wawe wamehama! Tazama hii video ???

Mungu mbariki Dr. Magufuli, Makamu wake, na Waziri Mkuu. Uwalinde na hawa mafisadi wasije wakawafanyia kitu chochote kile ambacho kitakwamisha hizi kitinda zao za kuitoa Tanzania kwenye mikono ya “manyang’au”!

Mungu ibariki Tanzania. Mungu ibariki Africa.

Leave a Reply