Kheri ya miaka 56 ya ndoa kwa Mzee Mwinyi na mama Sitti Mwinyi

screenshot_2016-09-25-07-37-57-1 fb_img_1472436063790Japo kwa kuchelewa, naomba niwatakie kheri ya miaka 56 ya ndoa baba na mama Mwinyi!…………Miaka 56 siyo mchezo! Tunashukuru wazee wetu kwa kuweka mfano bora kwa taifa letu! Tunawaombea kheri ya maisha marefu zaidi na baraka nyingi sana. Happy 56th Wedding Anniversary to our former President Hon. Ali Hassan Mwingi and our former FirstLady Mama Sitti Mwinyi! ❤❤

Leave a Reply