Kumbe Joyce Kiria ni wifi yangu!

screenshot_2016-09-22-07-31-32-1Mwe! Leo nilikwenda mchungulia mama wa #Mwanamke Piga Kazi! Eeh! Sinikakutana na hii post yake anasema “harudi mtu Kibosho”! Ndio nikagundua kumbe Joyce ni shangazi yake mwanangu ??? Haya Joyce kuanzia leo mie nakuita wifi ole wako ukatae undugu na mimi ??? Halafu sijui nitoboe siri nyingine ??? ngoja nilewe kwanza zikipanda nitamwaga radhi lol!……. Hongera wifi yangu wewe mchakarikaji sana. Lakini wifi, huoni wewe kufanya biashara ya kupika unawanyima riziki mama ntilie?! Kwa nini wewe using’ang’anie “Wanawake Live”!…….Nawaza tu kwa sauti??

Leave a Reply