Kumbe mama Mkamba ni mama mkwe wangu eeh!

Poleni sana wapendwa roho yake bibi iyendelee kupumzika kwa amani!……. Nimefurahi kuona kuwa mama Makamba ni mama mkwe wangu ?? watanijua Mjaluo mie hata kama hawataki ?? Tutafungulia Tanga kwa Mzee Yusuph Makamba halafu tunafungia Kyaka kwa mama Makamba wenye wivu wajinyonge tu maana hamna namna ??……… R.I.P Omukare Ma Eugenia!

Leave a Reply