Kumbe na huyu ni shemeji..!

Kumbe na huyu kimbau mbau mwiko wa pilau ni shemeji yangu ?? Yani wewe Max ndio unasumbua kichwa ya baba yangu Dr Magufuli na #FreedomOfSpeech? Utafikiri unaijua vile ??? Kama  kweli wewe unapigania hiyo “huru ya kujielesa”  (in Luo’s voice)   mbona siku ile yule “mwanaharakati” nyenzio alianika wewe na familia yako aka bandika na picha ya mutoto yako kwa mtandao yake ulipiga magoti yako kwa nguvu sana ukaomba msamaha akutoe kwa blog yake nakuwa hauto rudia tena kumuongelea??? Kwani hile haikuwa #FreedomOfSpeech ??  Au nyie hii ya kwenu  ina “discrimination”?? ????? •••••• Anyway pole kwayalio kukuta binafsi sipendi kuongelea mambo ambayo yapo Mahakamani kwani tuache Mahakama zifanye kazi zake bila kuingiliwa na mtu yoyote kwa uhuru na uwazi! Lakini hata hivyo naamini haya yataisha na punde utakuwa huru! And you and your #FreedomOfSpeech can go away ???

 

Leave a Reply