Kutoka Facebook

Nimependa sana hii picha ya waheshimiwa hawa wawili Mh. Vincent Nyerere and Mh. Shy-Rose Bhanji, ni viongozi ambao nawakubali sana, haswa kwa ile mañana ya kutokujikweza!  Yani hawa viongozi hawana dharau ya kujiona kuwa wao ni watu wa level fulani tofauti na watu wengine. Wanakula na kushiriki na watu wa level zote za maisha bila matatizo kabisa, na sio ile yakupata “kodak” moments za Facebook na IG. Mbarikiwe sana!

FB_IMG_1428269659243

Leave a Reply