Kutoka Facebook

FB_IMG_1459448207019-1Leo nimependa picha hii ya my schoolmate kutoka Kowak Girls Secondary school.  Yeye anaitwa Angela anaishi Musoma, Mara……… Angela pole sana kwa msiba wa baba. Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe milele. Na baba aendelee kupumzika katika amani ya Bwana ?

Leave a Reply