Makabidhiano ya Hati Miliki ya Ardhi ya Shamba na Kiwanda cha Udafco Ltd

Makabidhiano ya Hati Miliki ya Ardhi ya Shamba na Kiwanda cha Udafco Ltd, kwa Mh. Lameck Airo, MP. Toka kwa Bw. Otieno Igogo wa Udafco ili Mh. akaiwasilishe kwa Mkuu wa Mkoa wa Mara. Iliyofanyika leo tarehe 15.08.018 ofisini kwa Msajili wa Hazina. 

Leave a Reply