Mama na wanawe! …..The Mashimi!

Mama na wanawe, the Mashimis’ katika ubora wao. Honestly nilikuwa napenda sana kupost family moments kama hizi because I strongly believe in family institution. Lakini wapika majungu na kamati ya ufitina wakaanza kupika majungu nakuwajaza watu hofu kiasi kwamba watu wakawa hawataki kuweka picha zao kwa hii blog. Hivyo siku hizi naweka only picha za watu ambao najua hawatakuja kusema “toa picha zangu kwenye blog yako”! Unless wewe mwenyewe uniruhusu, sito weka picha za watu humu. Ni za familia yangu na watu ambao najua they won’t bring drama to me!! Sitaki drama mimi I am too old for that crap!…….Anyway, nimependa hii picha, ni the Mashimis’ from Atlanta, Georgia. Wamependeza sana na ninawapenda ?❤

Leave a Reply