Category Archives: Motherhood

Madam Rita Paulsen: I can proudly say I know how she feels

Regrann from @mspaulsen - The smiles when a you are a single mother and get to wittness your daughter,s wedding...... I can proudly say I know how she feels. It's the best achievement and a blessing . The feeling is unexplainable. I wish this to all single mothers out there we rock ???thanks God and our daughters for making us proud - #regrann Maneno ya kugusa moyo haya kutoka kwa Madam Rita Paulsen. Je, wewe umeahawahi kukutwa na hali kama iliyomkuta Madam Rita? Yani ukaona mtu anapitia jambo au anakutwa na kitu fulani (jema au baya) halafu zile hisia zake ukahisi ni wewe kwasababu huwenda nawe unapitia kitu hichohicho au ulishawahi kupitia huko nyuma? Kwanini nime share nanyi hii " status" ya Madam Rita, nikuwa maisha ni fumbo, ukimwona kichaa yupo uchi usimcheke kwani hujui yakesho! Watu pekee ambao wanaweza kuelewa kwanini yule kichaa yupo uchi na nijinsi gani anajisikia niwale ambao walishawahi kuweuka! Nawale  ambao wanajua thamani ya kuwa na akili timamu niwale wale uliowahi kuwa vichaa. Ndivyo ilivyo hapa, only those who are or have been single mothers before ndio wanaoelewa ujumbe wa Madam Rita na furaha ya mama Princess Megan.  ***Siku zote dharau maiti siyo binadamu mwenye pumzi ya uhai***

Open_Kitchen2014: lazima ifike mahali tuelewe kuwa fadhila za watoto wetu ni baraka hatutakiwi kuwafanya watoto wetu ndio mtaji wetu

Regrann from @open_kitchen2014 - Wanawake , wasichana , wamama tunanapigana usiku na mchana , tunavumilia mengi na mengi ni siri yetu kwasababu tunataka the best kwa ajili ya watoto wetu nguvu zetu jasho letu , vyote ni kwa ajili ya watoto wetu .
Ila wamama......lazima ifike mahali tuelewe kuwa fadhila za watoto wetu ni baraka hatutakiwi kuwafanya watoto wetu ndio mtaji wetu au watoto wetu ndio mahali tulipofanya uwekezaji basi kila kitu mimi mama yako nililala nje kwasababu yako , mimi mama yako nilipigwa nikavumilia kwasababu yako , mimi mama yako niliuza mali nikusomeshe , mimi mama yako sijui nilibeba mimba nikateseka kushinda wa mama wote duniani kwa sababu yako ?????(kicheko sunna) ..kila mama na story yake ilimradi ajenge sympathy kwa mtoto wake .

.la hasha mtoto lazima umpe freedom yake wewe kama mama yes umeteseka , yes umepitia wakati mgumu ,yes umepambana usiku kucha but hiyo ndio nature ya mama ndio maana mama siku zote amebarikiwa sana so leo tusiwatese watoto wetu na kuwanyima uhuru wao furaha yao just because wewe mama unataka mtoto wako awe a certain way asome kile ambacho kilikuwa dream yako inafika mahali mpaka mama unataka mtoto wako kuoa au kuolewa na yule wewe unayemwona ndio perfect kwako mwenzangu wamama siku hizi tumegeuka kuwa manabiii pia ???? .

Tumebarikiwa kuwa wamama watoto wetu tunatakiwa kuwasomesha , na kuwaongoza katika misingi bora but watoto wetu sio vitega uchumi , watoto wetu lazima wawe na maamuzi yao hata kama ni maamuzi yasiyokufurahisha kama mzazi all we need to do ni kuwa guide na kuwaelekeza kuwa the choice has consequences hizi so yeye ataamua which way to go but not to condem or command them to do wewe mama unavyotaka au unavyotarajia 
Tunawapoteza watoto wetu simply because tunawanyima UHURU WAO MOTHERS WE MUST LEARN TO LET GO AND STOP IMPOSING SO MUCH FEAR AND SADNESS INTO OUR CHILDREN 
BECAUSE THIS AFFECTS THEM SO MUCH WANAJIONA KAMA WANADENI KUBWA SANA TOWARDS MAKING US HAPPY WHICH IS NOT RIGHT . .AS MOTHER'S WE ARE BLESSED LET'S CARRY OUR BLESSINGS IN A POSITIVE WAY .
. .. - #regrann

Mama Prince Kairo: Wipe their tears as you wiped mine father Lord

Regrann from @ladivamillen  -  I’m sharing my son’s pictures today not just for my supporters and followers to meet him, but  I needed to tell a different story.  Story of FAITH and HOPE. I needed to give hope by showing a picture of me holding my son, which I believe it could uplift and inspire someone out there. -Millen Magese .Catch my cover story interview Exclusively @genevievemagazine share it with that woman or family who lost Hope on Infertility battle. ?

 #NothingIsImpossibleWithHim #endometriosisawarenessmonth2018 #EndometriosisAndInfertilitySucks #SPEAKOUT #yellowdotfor1000needles #PutAStopOnEndometriosisAndInfertility. Custom dress by @eseazenabor you’re amazing.?  - #regrann  Regrann from @ladivamillen  -  To read part of my story please check out the link on my bio for EMag then you can download.  I look at your face my baby  and can’t stop thanking God! My Miracle Worker ! Awesome is your name! Mighty is your name ooh God, I praise you, there is nothing you can’t do Lord! Do for other women as you did for me. Wipe their tears as you wiped mine father Lord. Let them experience the joy of carrying their own babies. You’re faithful God and awesome is your name?. Praying for all women out there to experience this joy soon ?#PrinceKairo???. Get to read our story @genevievemagazine .




Mother and daughter moment

Pretty-pretty-pretty! Such a lovely priceless moment, mama Cookie na Cookie wake! ???....... Jamani Valentine's moments unaweza ukachagua mtu yoyote umpendaye  uka dedicate mwaka huu kwake! Anaweza akawa mama yako mzazi, baba, dada, mtoto wako n.k! Yoyote yule amabye yupo karibu na ndani ya roho yako! Ila kama ni mume / Mke lazima awe amehalalishwa na mamlaka husika kama serikali, kanisa, au msikitini!  

Hakuna “bibi kizee” anaye weza kukunja miguu namna hii!

Najua-najua! It's holidays season, lakini si vibaya kula ubuyu kidogo kiaina, wanasema wataalamu wa afya kuwa kusoma gossiping kidogo  kidogo ni nzuri kwa afya yako ??  Sasa huwa nasomaga baadhi ya watu wakisema kuwa Zari ni "bibi kizee" jamani labda mie sijatembea sana embu mniambie kama kuna "bibi kizee" yoyote ambaye anaweza kukunja miguu akiwa kitandani kama Zari alivyofanya?!?? I know they always say life is very difficult for the blinds lakini jaribuni kumuogopa Mungu nyie watu!! Mimi sijawahi ona, hivyo naamini hakuna bibi kizee yoyote yule hapa duniani anaye weza kukunja miguu namna hii!........ Beautiful picture, priceless!

Mama na wanawe! …..The Mashimi!

Mama na wanawe, the Mashimis’ katika ubora wao. Honestly nilikuwa napenda sana kupost family moments kama hizi because I strongly believe in family institution. Lakini wapika majungu na kamati ya ufitina wakaanza kupika majungu nakuwajaza watu hofu kiasi kwamba watu wakawa hawataki kuweka picha zao kwa hii blog. Hivyo siku hizi naweka only picha za watu ambao najua hawatakuja kusema “toa picha zangu kwenye blog yako”! Unless wewe mwenyewe uniruhusu, sito weka picha za watu humu. Ni za familia yangu na watu ambao najua they won’t bring drama to me!! Sitaki drama mimi I am too old for that crap!…….Anyway, nimependa hii picha, ni the Mashimis’ from Atlanta, Georgia. Wamependeza sana na ninawapenda ?❤