The “Masanja Mkandamizaji”! A.k.A Mr and Mrs Mgaya katika ubora wao!

screenshot_2016-10-10-07-33-25-1-1 Hivi mmesha waona hawa “njiwa wa mapenzi” jinsi wanavyo kula ma good time mpaka wanatia hasira #Jelous Is A Disease huh! ?? screenshot_2016-10-08-09-42-18-1fb_img_1472436063790Kwakweli wanapendeza sana. Hii ndiyo faida ya wapenzi kuwa marafiki wa dhati. Yani kuna couple zingine ukizitizama you end-up wondering how do they make babies ??? Yani ni mwendo wa kununa kwa kwenda mbele! Hata kama hauishi nao utajua tu something ain’t right! Jamani pendaneni kama Bwana alivyo wapenda nyinyi!……….Mungu azidi wabariki ❤❤❤❤

Leave a Reply